Sbs Swahili - Sbs Swahili
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 118:55:45
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodios
-
Utofauti waleta sauti mpya
26/08/2022 Duración: 05minHip hop na muziki wa Drill imekuwa maarufu katika miaka ya hivi karibuni nchini Australia na, wasanii nchini watashiriki katika tamasha itakayo andaliwa katika kitongoji cha Sydney chenye tamaduni nyingi cha Parramatta.
-
SBS Swahili Mubashara 23 Agosti 2022
25/08/2022 Duración: 53minUnaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.
-
Taarifa ya Habari 23 Agosti 2022
23/08/2022 Duración: 16minBaraza la mawaziri la shirikisho la agiza uchunguzi kwa jinsi, waziri mkuu wa zamani alijiteua kusimamia wizara kadhaa.
-
Je! Azimio One Kenya watafanikiwa kubatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu?
23/08/2022 Duración: 07minMrengo wakisiasa wa Azimio One Kenya unajiandaa kuwasilisha ombi lakubatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu nchini humo.
-
Waendesha magari kukabiliwa kwa ongezeko ya bei ya mafuta baada ya makato yamuda ya kodi ya mafuta kuisha
22/08/2022 Duración: 05minMoja ya hatua ambayo imesaidia kupunguza gharama ya maisha, nikupunguzwa mara mbili kwa muda kwa kodi ya petroli.
-
Taarifa ya Habari 21 Agosti 2022
21/08/2022 Duración: 16minBaadhi ya mashirika yanayo toa huduma za ajira nchini Australia kwa walemavu kufungwa.
-
SBS Swahili Mubashara 16 Agosti 2022
18/08/2022 Duración: 53minUnaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.
-
Je! nini kitafuata baada ya Raila kushindwa tena katika uchaguzi mkuu?
18/08/2022 Duración: 22minKinara wa mrengo wa Azimio One Kenya Raila Odinga, amewania urais mara tano bila mafanikio.
-
Jinsi yakupata msaada mpendwa wako anapokuwa na uraibu wa kamari
17/08/2022 Duración: 12minHakuna tiba kwa suala la uraibu wa kucheza kamari.
-
Taarifa ya Habari 16 Agosti 2022
16/08/2022 Duración: 17minTaarifa za waziri mkuu wa zamani kujiapisha kuwa waziri wa wizara kadhaa, zaendelea kuzua rabsha zakisiasa mjini Canberra.
-
Wakenya wasifu uwazi wa uchaguzi mkuu
15/08/2022 Duración: 10minNi nadra kwa tume ya uchaguzi ya Kenya, kusifiwa kwa jinsi ilivyo simamia uchaguzi mkuu.
-
Chris: "Matokeo yote ya uchaguzi hubandikwa kwenye milango ya vituo vyakupigia kura"
15/08/2022 Duración: 08minWakenya kote duniani, wame elezea hisia zao zakuto ridhishwa na kasi yamatangazo ya matokeo ya uchaguzi wa urais.
-
Moise: "Tunataka walio uwa ndugu zetu Gatumba wachukuliwe hatua zakisheria"
15/08/2022 Duración: 07minAgosti 13 ni siku ya majonzi yasiyo elezeka, kwa jamii ya wanyamulenge kote duniani.
-
Patrick: "Hata nikifa kesho, watu wengine watajua niliyo pitia kupitia' Survivors Uncensored"
15/08/2022 Duración: 11minWatu wengi barani Afrika, wanao toa kauli ambazo ni kinyume ya kauli rasmi ya mamlaka hujipata kwenye hali ngumu.
-
Delphin "Nchi za Afrika Mashariki zinaweza jifunza mengi kupitia yaliyo tokea Rwanda?
15/08/2022 Duración: 10minKanda ya Afrika Mashariki ime kuwa na utulivu kwa muda mrefu, ila mivutano kati ya viongozi imekuwa ikitishia utulivu huo.
-
Taarifa ya Habari 14 Agosti 2022
14/08/2022 Duración: 18minKaimu waziri mkuu Richard Marles amesisitiza kuwa bado kuna uwezekano wakuboresha mahusiano na China, licha ya ongezeko ya mivutano katika kanda hilo kwa sababu ya Taiwan.
-
SBS Swahili Mubashara 9 Agosti 2022
11/08/2022 Duración: 52minUnaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.
-
Je! IEBC itakomboa sifa yake baada ya utata ilio zua katika uchaguzi mkuu wa 2017 wa Kenya?
11/08/2022 Duración: 11minTume huru ya uchaguzi wa Kenya IEBC, kwa mara nyingine inasimamia uchaguzi mkuu miaka mitano baada ya uchaguzi mkuu wa 2017 ulio paka tume hilo tope lakuganda.
-
Wawakilishi wa wanasiasa wa Kenya, waelezea imani yao kwa ushindi
11/08/2022 Duración: 15minHesabu za kura zilizo pigwa zina endelea nchini Kenya, ambako matokeo yake yanasubiriwa kwa hamu nama milioni ya watu.
-
Bill "Manchester Utd ni sehemu ya utambulisho wangu"
10/08/2022 Duración: 08minWatu wengi wenye asili ya Afrika wana mapenzi ya dhati kwa mchezo wa mpira wa miguu.