Changu Chako, Chako Changu
Historia ya siku ya kuwakumbuka mashujaa nchini DRC na Mwanamuziki TayC
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:19:59
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika Makala haya Ali Bilali anazungumzia kuhusu siku ya kuwambuka watu waliotoa mchango wao katika harakati za ukombozi ambapo kila januari 4 ni siku ya kuwakumbuka wapambanaji hao waliochangia katika ukombozi wa nchi Usikosi pia kumfollow mwanahabari wako Ali Bilali kwa Instagram @billy_bilali