Sinopsis
Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.
Episodios
-
Taarifa ya Habari 21 Machi 2025
21/03/2025 Duración: 23minOnyo kuu la marufiko limetolewa kwa jumuiya za Kaskazini Queensland, karibu ya Lower Herbert River. Kiwango cha maji kimepita kiwango cha mafuriko cha mita 5.5 asubui ya Alhamisi 20 Machi.
-
Islamophobia in everyday life - Kunyanyaswa kwa wa Islamu katika maisha ya kila siku
18/03/2025 Duración: 09minAgainst the backdrop of the Israel-Hamas war, incidents of Islamophobia in Australia have surged – whether verbal, physical or online. What's the lasting impact on victims, and what can be done? - Kufuatia vita vya Israel-Hamas, matukio yawa Islamu kunyanyaswa yame ongezeka nchini Australia, iwe kwa maneno, kimwili au mtandaoni. Athari ya kudumu kwa wa athiriwa ni gani, na nini kinaweza fanywa?
-
Taarifa ya Habari 18 Machi 2025
18/03/2025 Duración: 19minShinikizo lakisiasa lina ongezeka kwa chama cha Labor kiache makubaliano ya AUKUS, ambayo kupitia makubaliano hayo Australia inafaa pata manowari ya nyuklia.
-
Utofauti wa Lugha za Mataifa ya Kwanza
18/03/2025 Duración: 12minMtu yeyote mgeni nchini Australia anaweza fahamu umuhimu waku weka hai lugha yako ya mama. Lugha ni muhimu kwa utamaduni wako na lugha za asili za Australia si tofauti, kuwaunga watu na ardhi pamoja na maarifa ya mababu.
-
Taarifa ya Habari 17 Machi 2025
18/03/2025 Duración: 06minWaziri Mkuu na kiongozi wa zamani wa chama cha Liberals Malcolm Turnbull, amesema hadhani Australia inastahili endelea mbele na ushirikiano wa AUKUS, ametoa maoni hayo wakati wasiwasi una ongezeka iwapo mkataba huo uta tekelezwa chini ya muhula wa pili wa uongozi wa Trump.
-
Matt Gitau "wakati wakuongoza kulingana na katiba na matumaini yawa Kenya umefika"
14/03/2025 Duración: 12minWakenya wana endelea kukabiliana na uongozi mpya wa mseto kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama kikuu cha upinzani cha Orange Democratic Movement (ODM).
-
Taarifa ya Habari 14 Machi 2025
14/03/2025 Duración: 18minWauguzi na wakunga wanaomba mageuzi ya udhibiti yatakayo waruhusu kuagiza vipimo vya uchunguzi, kutoa rufaa kwa watalaam na kuagiza dawa fulani. Ni hatua mashirika ya kilele yamesema itapunguza muda wakusubiri nakupiga jeki matokeo ya huduma ya afya.
-
Want to help shape Australia’s future? Here’s how to enrol to vote - Unataka saidia kuunda mustakabali wa Australia? Hivi ndivyo unaweza jiandikisha kupiga kura
14/03/2025 Duración: 06minWith another federal election due this year, there are steps you will need to take before casting your vote for the first time. Plenty of resources are available to help you enrol to vote and have your say in shaping our nation. - Uchaguzi mwingine wa shirikisho ukitarajiwa mwaka huu, kuna hatua utahitaji chukua kabla yakupiga kura yako kwa mara ya kwanza. Kuna rasilimali nyingi zaku kusaidia kujisajili kupiga kura na kutoa maoni yako katika mustakabali wa nchi yetu.
-
Taarifa ya Habari 13 Machi 2025
13/03/2025 Duración: 05minRipoti mpya ya Chuo cha Monash imeonesha matukio ya unyanyasaji dhidi yawa Islamu wa Australia, yali ongezeka zaidi ya mara mbili kati ya Januari 2023 na Novemba 2024.
-
Matt Gitau "Jumamosi itakuwa fursa nzuri yakutafuta majibu ya changamoto zinazo tukumba"
13/03/2025 Duración: 11minJumuiya ya wakenya wanao ishi mjini Sydney, New South Wales imekabiliana na taarifa baada ya nyingine yaku sikitisha katika siku za hivi karibuni.
-
Taarifa ya habari 11 Machi 2025
11/03/2025 Duración: 17minMamlaka jimboni New South Wales wamesema jibu baada ya kimbunga Alfred lime hamia rasmi katika mwelekeo wa uokoaji. Hakuna onyo za dharura ambazo zimetolewa kwa kuhama.
-
Uchaguzi wa AI: Je akili ya bandia ita shawishi jinsi wa Australia wata piga kura?
11/03/2025 Duración: 10minAkili ya bandia ni teknolojia mpya ambayo watu wanajaribu kuelewa. Watafiti waki jumuishwa.
-
Taarifa ya Habari 10 Machi 2025
10/03/2025 Duración: 07minTaarifa za marufiko ya gafla zimetolewa kwa maeneo ya pwani ya New South Wales na Queensland, baada ya tukio la kimbunga cha kitropiki Alfred.
-
Taarifa ya Habari 7 Machi 2025
07/03/2025 Duración: 20minWaziri Mkuu Anthony Albanese amesema ame idhinisha ombi la wanajeshi 120, watakao enda mara moja New South Wales kusaidia katika juhudi zaku kabiliana na Kimbunga Alfred.
-
Unataka saidia kuunda mustakabali wa Australia? Hivi ndivyo unastahili fanya kujisajili kupiga kura
07/03/2025 Duración: 08minUchaguzi mwingine wa shirikisho unatarajiwa kufanywa mwaka huu, kuna hatua unastahili chukua kabla yakupiga kura yako kwa mara ya kwanza.
-
Taarifa ya Habari 6 Machi 2025
06/03/2025 Duración: 06minOfisi ya utabiri wa hali ya hewa, ime toa taarifa mpya kuhusu wakati kimbunga chaki tropiki Alfred, kina tarajiwa kufika katika nchi kavu.
-
Ramadan na Eid ni nini, na huadhimishwaje huku Australia?
05/03/2025 Duración: 11minAustralia ni nchi yenye tamaduni nyingi na ina idadi kubwa yawa Islamu wengi.
-
Jinsi ya kuzungumza kuhusu asili yako
05/03/2025 Duración: 06minJe! wewe ni mgeni nchini? ungependa fanya mazoezi ya kujieleza kwa Kiingereza?
-
The AI Election: Will artificial intelligence influence how Australia votes? - Uchaguzi wa AI: Je akili ya bandia ita shawishi jinsi wa Australia wata piga kura?
05/03/2025 Duración: 07minExperts say AI could have significant impacts on democracy and trust. - Watalaam wanasema AI inaweza kuwa na madhara makubwa kwa demokrasia na uaminifu.
-
Taarifa ya Habari 4 Machi 2025
04/03/2025 Duración: 19minWaziri wa Fedha Katy Gallagher amesema wa Australia wanastahili tarajia bajeti ya shirikisho inayotegemewa, na ambayo itasaidia familia kwa shinikizo za gharama ya maisha.

Únete Ahora
- Acceso ilimitado a todo el contenido de la plataforma.
- Más de 30 mil títulos, incluidos audiolibros, podcasts, series y documentales.
- Narración de audiolibros por profesionales, incluidos actores, locutores e incluso los propios autores.